Joseph Kabila
Joseph
Kabila Kabange
alizaliwa kama Hippolyte Kanambe Kazemberembe Kabange Mtwale
Juni
4
1971
ni rais
wa
nne wa Jamhuri
ya Kidemokrasia ya Kongo.
Aliingia
katika uraisi baada ya kifo cha babake Rais Laurent-Desiree
Kabila
aliyeuawa
na wanajeshi tar. 16
Januari
2001.
Wanasiasa wengine walimteua mwana kuwa raisi baada ya baba.Katika uchaguzi wa kitaifa wa 30 Julai 2006 alipata kura nyingi kuwa raisi lakini hakufikia nusu ya kura zote. Katika uchaguzi wa pili kati yake na Jean-Pierre Bemba alishinda akathebitishwa kuwa rais tar. 17 Novemba 2006. Joseph Kabila ni rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyechaguliwa na wananchi wote katika uchaguzi huru.
Joseph Kabila alizaliwa mjini Hewa Bora mkoani wa Kivu Kusini katika mashariki ya Kongo. Babake alikuwa mwanasiasa na kiongozi wa kikundi cha wanamgambo waasi waliopinga serikali ya Mobutu Sese Seko.
Joseph alihamia Dar es Salaam (Tanzania. Alisoma shule ya msingi na ya sekondari katika Dar es salaam na Mbeya na pia alisomea Chuo Kikuu cha Makerere na alisomea Uanajeshi. Octoba 1996 alikuwa Commanda wa kundi la "Kadogos" ambalo ni jeshi la watoto Inasemekana alitumia wakati ule jina la Hippolyte Kanambe Kazemberembe Kabange Mtwale kwa sababu za usalama.
Baada ya ushindi wa wapinzani dhidi ya Mobutu babake alikuwa rais na Joseph alipelekwa masomoni kwenye chuo cha kijeshi huko Uchina. Wakati wa kurudi alipewa cheo cha jenerali jeshini na mwaka 2000 alipandishwa cheo kuwa mkuu wa jeshi.
Alikuwa rais
Januari 26 2001 baada ya kifo cha babake Laurent-Desiree Kabila, na
kumfanya kuwa rais wa kwanza duniani aliyezaliwa katika miaka ya
1970s. Alikuwa rais mchanga Ulimwenguni hadi januari 2004.
Desemba 2002
alikubali mapatano ya amani kati ya serikali na waasi yaliyokuwa
msingi kwa ajili ya kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa na
maandalizi ya uchaguzi wa mwaka 2006.
juni 11 2004
mapinduzi ya kijeshi wakiongozwa naye Meja Eric Lenge walijaribu
kuchukuwa madaraka na kutangaza kwa radio ya taifa kwamba shughuli
zote za serikali zimesitishwa lakini walichindwa na askari wa Kabila.
Desemba 2005
kura ya maoni ya kupitisha katiba mpya ilifanyika na uchaguzi wa rais
ulifanyika Julai 30 2006 baada ya kusitishwa kwa tarehe ya hapo
awali. Kabila alishinda kwa asilimia 45% naye mpinzani wake na makamu
wa rais na mwaasi wa zamani Jean-Pierre Bemba alipata asilimia 20%,
Matokeo hayo yalikataliwa na kura zilirudiwa kati ya Kabila na Bemba
Oktoba 29.Novemba 15,tume ya uchaguzi ilitangaza matokeo rasmi na
Kabila kutangazwa kuwa mshindi na asilimia 58.05% za kura. Matokeo
hayo yalithibitishwa na Mahakama Kuu Novemba 27 2006 na kabila
kuapishwa Desemba 6 2006 kama rais.
Desemba 2011
Kabila alichaguliwa kwa kipindi cha pili kama rais. Baada ya matokeo
kutangazwa tarehe 9 Desemba, kulikuwa na vurugu katika machafuko huko
Kinshasa na Mbuji-Mayi ambapo ndiyo iliyo kuwa ngome kuu ya mpinzani
wa Kabila Etienne Tshisekedi
Juni Mosi baada
ya uvumi mbalimbali kutolewa na maafisa wa nyadhifa za juu serikalini
kuhusu ndoa yake,mkuu wa Kaya ya rais, Balozi Theodore Mugalu
alitangaza rasmi harusi ya rais na Olive Lembe di Sita.Harusi hiyo
ilitendeka Juni 17 2006 wana msichana aliyepewa jina Sifa, jina la
mamake Kabila
No comments:
Post a Comment