Pages

Monday, 2 April 2012

                               MARY ONYANGO
i)Alikuwa makamu mwenyakiti wa tume la shikamano na ushirikiano wa kitaifa.
ii)Alihitimu masomo yke katika Chuo Kikuu cha Nairobi na kupokea shahada ya Biashara. Pia alipokea shahada ya Mambo ya Kifedha kutoka Chuo cha Maastricht nchini Ketherlands
iii)Baada ya kuugua saratani ya matiti, aliungana na marehemu bi. Julia Mulaha ambaye pia laikuwa augua saratani, na kuanzisha programu ya kuwasaidia wanawke wanaougua saratani ya matiti nchini Kenya mwaka 1999.
iv)Akiwa bado katika chuo kikuu, alikuwa muigizaji katika tamthilia mbalimbali kama vile miaha.

No comments:

Post a Comment