Pages

Thursday, 5 April 2012

Vituko


Mama mwenye umri wa miaka 32 amekichoma chumba cha kulala cha bintiye mwenye umri wa miaka 16, akidai kwamba basi la kumpeleka skuli lilikuwa linamwacha. Kulingana na msichana huyo, mamake alibisha mlango kabla ya kutengeneza shimo kwenye mlango na kisha kuwasha moto kwa karatasi na kuingiza kwenye shimo hilo. Moto huo ulichoma kiti chumbani humo.Mama huyo naye aliwaambia askari kwamba mtoto alikuwa anawachwa na basi sasa alifanya hivyo ili msichana wake atoke chumbani humo.

No comments:

Post a Comment