Mama
mwenye umri wa miaka 32 amekichoma chumba cha kulala cha bintiye
mwenye umri wa miaka 16, akidai kwamba basi la kumpeleka skuli
lilikuwa linamwacha. Kulingana na msichana huyo, mamake alibisha
mlango kabla ya kutengeneza shimo kwenye mlango na kisha kuwasha moto
kwa karatasi na kuingiza kwenye shimo hilo. Moto huo ulichoma kiti
chumbani humo.Mama huyo naye aliwaambia askari kwamba mtoto alikuwa
anawachwa na basi sasa alifanya hivyo ili msichana wake atoke
chumbani humo.
No comments:
Post a Comment