Alizaliwa
Mai 29 1926 alikuwa rais wa tatu wa Senegali hadi tarehe 25 Marchi
2012 toka mwaka wa 2000.Yeye pia ni katibu mkuu wa chama cha
Senegalese party(PDS) na ameongoza chama hicho tangu 1974.Alikuwa
kiongozi wa upinzani kwa muda mrefu, na amewania urais mara
nne,kuanzia mwaka 1978,kabla ya kuchaguliwa mwaka 2000.Alisomea
sheria na kufunza Lycee Condorcet huko Ufaransa.
Wade
ana udhamini wa udaktari katika Sheria na uchumi.Alikuwa pia mkuu wa
Sheria na Uchumi wa Kitivo katika Chuo Kikuu cha Dakar nchini
Senegali.
Amemuowa
Viviane Wade. Mwana wao,Karim Wade alikuwa mkuu wa shirika la taifa
la Kiislamu,na toka Mei 2009 alihudumu kama Waziri wa Nchi kwa ajili
ya Ushirikiano wa Kimataifa,Mijini na Mikoa, Usafiri wa Unga na
barabara.Bintiye Sindjely Wade, ni msaidizi maalum wa Rais ambaye
alishirikikatika mikutano ya kampeni nyingi kimataifa.
Kufuatia
uchaguzi wa 1988, alikamatwa kutokana na maandamano dhidi ya matokeo.
Alipokea adhabu ya kusimamishwa kuwania kura.Hatimaye alikwenda
Ufaransa, lakini alirudi mwaka 1990.
Aprili
1991, Wade akiwa na jamaa wengine wanne wa chama cha PDS walijiunga
na serikali
ya umoja wa kitaifa pamoja na chama tawala cha Socialist Party (PS);
Wade akawa Waziri wa Nchi bila kupingwa Mnamo Oktoba 1992, yeye na
mawaziri wengine wa chama cha PDS wakajiuzulu kwenye serikali
kulingana na vile chama tawala cha PS kilivyokuwa kikiongoza
serikali.
Uchaguzi
wa Februari 1993 Wade alikuwa katika nafasi ya pili na asilimia 32%
nyuma ya Diouf ambaye alishinda na asilimia 58%. Octoba mosi ,
Wade,mkewe na wanachama wa PDS wawili wabunge walikamatwa na kufungwa
kutokana na kifo cha makamau wa rais wa baraza la katika.
Waliwachiliwa huru baada ya uchunguzi lakini Februari 1994 Wade
alikamatwa tena na wanachama wenzake kwa kutishia usalama wa serikali
na nchi, waliachiliwa Julai 4 baada ya maandamano ya wafuasi wake.
.
Alijiunga
na seikalikama waziri wa Nchi Machi 1995, lakini kama kawa alitoka
tena na wafuasi wake wa chama chake cha PDS Machi 1998.Ingawa
alichaguliwa kwa Bunge katika uchaguzi Februari 1998 wa bunge,
alitangazakujiuzulu kwake kutoka Bunge mwishoni mwa mwezi Julai 1998,
akisema kuwa kulikuwa na "manaibu wa
kutosha wa kufanya kazi aliyokuwa akifanya.

No comments:
Post a Comment