Pages

Friday, 23 March 2012

VITUKO

Mbwa mmoja amewashangaza waumini wa kanisa moja kwa kwenda kanisani na kuketi na kusikiliza neno.Mbwa huyo ambaye alifika mapema na kuketi katika kiti cha kwanza alionekana akifwatilia kila kitu kichokuwa kikitendeka kanisani.

No comments:

Post a Comment