
Nchi zingine kama Uchina, Russia,
Vietnam na Bulgaria siku ya leo ni sikuku ya kitaifa.
Siku hii wanawake wanaadhimisha miaka
101 tangu siku hii izinduliwe.
Kiini cha siku hii ni 'Connecting
Girls, Inspiring Future' Yaani KUUNGANISHA WASICHANA KUHIMIZA HATIMA
BAADHI
TU YA WANAWAKE WALIOFUZU KWA NYANJA MBALIMBALI
Luisa
Diogo ni Waziri Mkuu wa nchi ya Mozambique .
Ellen
Sirleaf-Johnson ndiye rais wa kwanza mwanamke barani Afrika wa nchi
ya Liberia.
Sylvie
Kinigi ndiye mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu barani Afrika wa
nchi ya Burund.
Wanawake
wanashikilia asilimia 18% za nyadhifa za ubunge Ulimwenguni,
Marekani
ipo katika nafasi ya 68 kwa mataifa 134 ulimwenguni kwa asilimia
16.8% ya wanawake ambao wapo bungeni.
Oktoba
2003 nchi ya Rwanda ndio nchi iliyo karibia idadi ya wanawake kwa
wanaume bungeni.
Kwa
Serikali 189 Duniani kuna wanawake 13 ambao wanashikilia nyadhifa za
juu sana.ambao ni
- Angela Merkel, Chancellor of Germany
- Cristina Fernández de Kirchner, President of Argentina
- Ellen Johnson-Sirleaf, President of Liberia
- Gloria Macapagal-Arroyo, President of the Philippines
Helen Clark, Prime Minister of New Zealand
- Luisa Diogo, Prime Minister of Mozambique
- Mary McAleese, President of Ireland
- Micheline Calmy-Rey, President of the Swiss Confederation
- Michelle Bachelet, President of Chile
- Pratibha Patil, President of India
- Tarja Halonen, President of Finland
- Yulia Tymoshenko, Prime Minister of Ukraine
- Zinaida Greceanîi, Prime Minister of MoldovaFACTS ABOUT WOMENKwa watu milioni 876 ya waliosoma kwa nchi zilizostawi duniani thulithi mbili ni wanawake.Wanawake hukuza ama huzalisha nusu ya chakula duniani lakini wana asilimia moja tu ya shamba.Katika nchi ya Saudi Arabia mwanake anaweza kupa talaka mme wake iwapo hatampa chai.
Mwanamke aliye stawi ana viatu 20, ambavyo viatu 11 kwa hivyo hatawahi vivaa.
Wanawake huongea mara tatu zaidi ya wanaume, Uchunguzi umeonchesha kwamba wanawake takriban maneno 20,000 kwa siku, na wanaume maneno 7,000
Wanawake huchukua takriban miaka 2 ya maisha yao wakijiangalia kwenye kioo, na wao husema kwamba Tv sio nzuri kama ilivyokuwa hapo zamani
HISTORYSiku ya Wanawake Duniani ni siku ya kimataifa inayosherehekea mafanikio ya kiuchumi, kisiasa na kijamii ya wanawake kutoka vizazi vilivyopita, vya sasa na vya baadaye.
Mashirika, serikali na mashirika ya wanawake kote duniani huchagua mandhari tofauti kila mwaka kwa kutafakari masuala ya jinsia ya kimataifa na serikali za mitaa.
Siku hii ilianza kusherehekewa katika miaka ya 1910.
Siku hii ya wanawake ilisherehekewa Machi 19 ,1911 huko Ujerumani, Australia, Denmark na nchi zingine za ulaya. Wanawake wa nchi zii walisherehekea siku hii kwa sababu ya wanawake kunyimwa haki za kupiga kura na mfalame wa nchi ya Prussian.
Kiini cha kutenga siku hii ilikuwa nikuwapa uhuru wa kupiga kuaUhuru wa kutoa maoni yaoUhuru wa kufanya kazi kwa ofisi za umaUhuru wa kwenda shule miongoni maswala mengi.Tunaposherehekea siku 101 ya wanawake Shirika la wanawake la Kenya FIDA wamesema wanachukuwa fursa hii kuangalia mafanikio wanawake wamepata.

No comments:
Post a Comment