Pages

Tuesday, 20 March 2012

VITUKO



Mwanamke mmoja wa miaka 35 ameshtakiwa kwa kuiba chupa mbili za pombe kwenye bar moja. Mwanamke huyo alipatikana akiweka chupa hizo kwenye kwapa zake na chupa ingine alitaka kuweka katikati ya matiti yake.

No comments:

Post a Comment