Pages

Thursday, 8 March 2012

VITUKO


Huku wanawake wakisherehekea siku yao Duniani mwanamke mmoja Nchini Zimbabwe amewashangaza watu kwa kutaka kufunga ndoa na kumuowa mwanawe mwenye umri wa miaka 24.
Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 42 alisema kwamba wakati bwanake aliaga miaka 6 iliyopita hakuna mtu yeyote alimsaidia kumsomesha mwanawe na sasa hataki msichana yeyote kumkaribia mwanawe eti kwa sababu ana kazi. Kuongeza maji kwenye Unga mwanamke huyo amesema tayari ni mja mzito na miezi sita na mwanawe.
Mwanamke huyo alisema ndugu za marehemu bwanake walionyesha hari ya kumrithi lakini yeye hataki anataka mwanawe, basi mwanawe pia amekubali atamuowa mamake.

No comments:

Post a Comment