Mwanamke huhitaji kulia na hawezi kufanya hivyo kama hakuna wa kumsikia na kumtuliza.
Mwnawamke hutishika sana na swala la uzito wake kimwili.Kila wakati lazima ajiangalie ameongeza au amepunguza.
Mwanamke hupenda kutengeneza nywele zake vilivyo kabla kulala.
Wanawake hupenda kupiga ngumzo ingawaje wanachozungumzia kinaweza kuwa hakina maana yeyote.
Wanawake daima huuliza maswali yasiyokuwa na majibu sahihi kwa jitihada za kumfanya mtu kupata hisia za hatia moyoni mwake.
Mwanamke ni mtu ambaye anapenda kufanya shopping ama vitu ukipenda hususan rejareja.
Mwanamke ni mtu anaye chukia mende (KOMBAMWIKO) .
Mwanamke ni mtu asiyeweza kukosa kujibu simu.
No comments:
Post a Comment