Leo ni siku ya kusimulia hadithi Ulimwenguni.Katika siku hii watu husimuliana na husikiza hadithi kwa kila Lugha za Ulimwengu.Usiku na Mchana watu huadithiana na hupeana moyo na motisha ili kusoma kitu kuhusu mtu au kitu.
Ni siku ya kipekee Ulimwenguni ambayo watu hujifunza mengi kutokana na hadithi zao, kiini cha siku ya leo ni kuhusu Miti.
No comments:
Post a Comment