Alizaliwa Aprili 7, 1927, alikuwa mpiga ngoma, mwanaharakati wa kijamii na msanii wa kurekodi mziki.
Olatunji alizaliwa katika kijiji cha Ajido, mji mdogo karibu na Badagry kusini magharibi mwa Nigeria. Alipata udhamini na kwenda kusomea huko Atlanta mwaka wa 1950.
Ameshinda zawadi nyingi sana katika kazi yake ya muziki.
Alitunga mziki uliotumiwa katika filamu ya Hollywood ya Raisin in the Sun.
No comments:
Post a Comment