Pages

Thursday, 15 March 2012

VITUKO




Abiria na wananchi waliozidi elfu 50 wake kwa waume wa nchi fulani hapa Afrika walinunua baskeli kila mmoja na kuendesha baskeli zao wakiwa uchi wa mnyama kisa na maana ni kuwa waendeshaji magari wamekuwa hawajali na ajali za barabara zilizidi. Waendeshaji baskeli hao walijiandika kwenye mwili wao wakisema huu ni mwili wangu.

No comments:

Post a Comment