Pages

Friday, 9 March 2012

VITUKO



Polisi mmoja ameshtakiwa kwa madai ya kula mlungula miaka miwili baada ya kifo chake.
Polisi huyo aliyeaga ameshtakiwa kwa kukubali rushwa ya shillingi elfu 100,000 kutoka kwa binamu wa jambazi sugu wa mtaa huo ambaye alikuwa anasakwa sana..
Aliaga kwa mshtuko wa moyo miaka miwili kabla ya kesi hiyo.
Jaji wa kesi hiyo aliambia koti kwamba watu waliofariki hawawezi toa ushuhuda.lakini atiwe pingu akiwa kwenye kaburi lake.

No comments:

Post a Comment