Pages

Monday, 19 March 2012

VITUKO



Mama wa mtoto mmoja amempa mtoto wake adhabu ya kusimama kwa barabara na alama zake za mtihani zikiwa zimeandikwa kwenye ubao mkubwa mtoto huyo akiwa ameubeba ili watu waone. Kijana huyo alienda nyumbani na alama mbaya. Babake alimuona mtoto wake akienda barabarani na ubao uliokuwa na maadishi '' Nataka kuwa mtoto mkorofi wa darasa''
Na upande mwingine maadishi yalisoma nipo darasa la nane na nimepata alama ya E kila somo.
Akiwaabia wanahabari wa runinga fulani mtoto huyo alisema nimepata alama ya E kwa darasa langu na kama adhabu napaswa kuwa hapa hadi saa saba.

No comments:

Post a Comment