Mama wa mtoto mmoja amempa
mtoto wake adhabu ya kusimama kwa barabara na alama zake za mtihani
zikiwa zimeandikwa kwenye ubao mkubwa mtoto huyo akiwa ameubeba ili
watu waone. Kijana huyo alienda nyumbani na alama mbaya. Babake
alimuona mtoto wake akienda barabarani na ubao uliokuwa na maadishi
'' Nataka kuwa mtoto mkorofi wa darasa''
Na upande mwingine maadishi
yalisoma nipo darasa la nane na nimepata alama ya E kila somo.
Akiwaabia wanahabari wa
runinga fulani mtoto huyo alisema nimepata alama ya E kwa darasa
langu na kama adhabu napaswa kuwa hapa hadi saa saba.
No comments:
Post a Comment