
Alianza
kuonyesha ufundi wake wa kukimbia kwenye Mashindano
ya Jumuiya ya Madola
huko Perth,
Australia
alipochukua nafasi ya kumi na moja. Kwenye Mashindano
ya Olimpiki ya Majira ya Joto
mwaka 1964 alimaliza wa tano kwenye mbio za mita 5000.
Agosti
27, 1965, Keino alivunja rekodi ya dunia ya mita 3000 kwa sekunde
sita. Katika Mashindano ya Mataifa ya Afrika alishinda medali mbili
za dhahabu kwa umbali wa mita 1500 na 5000. Baadaye alikuja kuvunja
rekodi ya dunia iliyokuwa ikishikiliwa na Ron
Clarke
ya mita 5000 kwa kukimbia kwa muda wa 13:24:2.
JE
WAJUA
Aliwahi
cheza mchezo wa raga.
Alijiunga
na Kenya Police baada ya skuli.
No comments:
Post a Comment