
i)1958, Things Fall Apart'
ii)1960, No Longer At Ease"
iii)1964, Arrow of God"
iv)1973, Girls at War''
v)1984, The Trouble with Nigeria''
vi)1987, Anthills of the Savannah''
vii)A Man of the People.
Achebe alipata umaarufu sana haswa kwa kitabu chake cha 'Things Fall Apart' alichochapisha 1959, na kitabu kinachosomwa sana barani Afrika wakati huu.
Alifuzu kwanye masomo yake ya sekondari na kupata udhamini kusomea shahada yake ya kwanza. Alipokuwa masomoni hakufurahishwa na Dini za Dunia na tamaduni za jadi za Afrika, na akaanza kuandika hadithi akiwa Chuo Kikuu. Baada ya kunitimu, alifanya kazi kwa huduma ya Utangazaji ya Nigeria na hatimaye Jijini Lagos.
Achebe huuandika riwaya zake kwa lugha ya Kiingereza na amejipata matatani kwa utaumizi wa lugha hii ya Kiingereza,'Lugha ya Wakoloni', katika fasihi ya Kiafrika.
Mtindo wake wa kuandika riwaya zake huzingatia mila na jamii ya Igbo, madhara ya mvuto wa Kikristo na tofauti upande maadili wakati na baada ya ukoloni. Pia amechapisha idadi ya hadithi fupi, vitabu vya watoto, na mkusanyo wa insha. Tangu mwaka wa 2009 amekuwa akifunza Chuo Kikuu cha David and Mirianna Fisher amekuwa pia profesa Mafunzo ya Afrika katika Chuo Kikuu cha Brown katika visiwa vya Rhode huko Marekani.
Achebe alisema kwamba alipokuwa mdogo wazazi wake waliwasimulia hadithi ambazo zilikuwa uti wa mgongo wa utamaduni wa Igbo na sehemu muhimu ya jamii. Alipata elimu yake kutoka kwa babake ambaye alikuwa akufunika paa na kuta za nyumba.
Riwaya yake ya kwaza Things Fall Apart kimekuwa riwaya muhimu katika fasihi ya Afrika, ana imeeuza zaidi ya nakala milioni 8 kote Duniani, pia kimetafsiriwa katika lugha 50 na kumfanya Achebe mwandishi bora wa Afirka ambaye kazi yake imetafsiriwa na kupata mafanikio zaidi alippochapisha kitabu chake cha kwanza.
Katika mwaka huo huo Things Fall Apart kilichapishwa, Achebe alipandishwa cheo hadi NBS na mkuu wa mtandao katika mkoa wa mashariki. Alihamia Enugu na kuanza majukumu yake ya kiutawala, akiwa huko alikutana na mwanamke mmoja aitwaye Christie Okoli, ambaye alikuzwa katika eneo hilo.
Achebe na Okoli wakawa marafiki wa karibu na Septemba 10,1961 wakafunga ndoa katika kanisa la Resurrection. Christie ameielezea ndoa yake kama ndoa ya aminifu na maelewano na wana tatoto tano.
Kitabu chake cha A Man of the People kilitumika hapa Kenya kama Riwaya kwa wanafunzi wa kidato cha nne.
No comments:
Post a Comment