Kuna
simu mpaya ya rununu ambayo inawajulisha watu kuhusu choo cha umma
ambacho kiko karibu nao. Simu hiyo iliyozinduliwa na askari wa baraza
katika nchi fulani, unahitaji kutuma ujumbe mfupi kwa nambari 80097
ukitanguliza na jina Choo kisha utaletewa maelezo zaii kuhusu choo
ambacho kiko karibu nawe.
No comments:
Post a Comment