Pages

Friday, 24 February 2012

VITUKO



Yaya amshambulia mwajiri wake kwa makonde na makofi, kwa sababu alipewa Uji anywe huku mwajiri na wanawe wakinywa Chai kwa Vitafuno. Kutokana na Yaya alisema afadhali aiishi njaa kuliko kunywa Uji ilhali anaishi mjini. Baada ya mwajiri wake kwenda kazini alikunywa Chai ya Mtoto na kujipikia chapati kumi na kuzila moja kwa moja.

No comments:

Post a Comment