Serikali ya nchi fulani imeingilia kati wakati mwanamke mmoja alijaribu kumuuza mme wake kwenye mtandao.
Katika matangazo yaliyobandikwa kwenye mtandao huo yalisema nauza mme wangu kwa vile nataka fedha. Alimfafanua mme wake kama aliyehitimu na anajua mapenzi aliongoza kwamba ana umri wa miaka 35, na angepewa dhahabu hangekataa.
No comments:
Post a Comment