Pages

Wednesday, 15 February 2012

VITUKO



Baada ya siku ya Valentine mwanamme mmoja amewashangaza watu kwa kuwa mwanamme wa peke na mzee kabisa kwa kumuowa msichana kipenzi chake cha roho aliyemwacha na umri wa miaka 22. Mzee huyo ambaye ana miaka 96 alifunga ndoa na mpenziye nyumbani kwake baada ya kuchumbiana kwa miaka 22.

No comments:

Post a Comment