Pages

Friday, 17 February 2012

VITUKO



Jamma mmoja amekataa kumpa mwenzake kazi kwa madai kwamba mbwa wake ana ubaguzi wa rangi. Jamma huyo aliambia gazeti la nchi hiyo kwamba akimpa jamma huyo kazi mbwa wake atamuuma jamma huyo, na kwamba si yeye aliye na ubaguzi wa rangi ila ni mbwa wake.

No comments:

Post a Comment