Jamma
mmoja amekataa kumpa mwenzake kazi kwa madai kwamba mbwa wake ana
ubaguzi wa rangi. Jamma huyo aliambia gazeti la nchi hiyo kwamba
akimpa jamma huyo kazi mbwa wake atamuuma jamma huyo, na kwamba si
yeye aliye na ubaguzi wa rangi ila ni mbwa wake.
No comments:
Post a Comment