Pages

Tuesday, 21 February 2012

VITUKO



Mwili wa mwanamme mmoja aliyefariki kwa miaka saba umepatikana kwenye chumba chake cha kulala kwenye kitanda chake. Jamaa huyo alikuwa na miaka59 alipofariki na hakuwa na kazi kulingana na habari za polisi.Habari zingine toka kwa polisi zinasema walipata sigara na tv ikiwa wazi.

No comments:

Post a Comment