Mwili wa mwanamme mmoja aliyefariki kwa
miaka saba umepatikana kwenye chumba chake cha kulala kwenye kitanda
chake. Jamaa huyo alikuwa na miaka59 alipofariki na hakuwa na kazi
kulingana na habari za polisi.Habari zingine toka kwa polisi zinasema
walipata sigara na tv ikiwa wazi.
No comments:
Post a Comment