Pages

Wednesday, 22 February 2012

VITUKO



Mtu alilazimishwa akiwa ameshikiwa bastola kupeleka majambazi nyumbani kwake, ambapo aliwekewa supper glue kwenye baiskeli yake ya mazoezi na kulazimishwa kuvua nguo zake zote na kuketi hapo, kisha nyumba yake kuporwa.
Msemaji wa huduma za dharura alisema jamaa huyo aliwekewa super glue kwenye mikono, miguu na pia midomo yake.
Jamaa huyo mwenye umri wa miaka 50 aliokolewa masaa matatu baadaye wakati mpenzi wake alifika nyumbani.

No comments:

Post a Comment