Mtu
alilazimishwa akiwa ameshikiwa bastola kupeleka majambazi nyumbani
kwake, ambapo aliwekewa supper glue kwenye baiskeli yake ya mazoezi
na kulazimishwa kuvua nguo zake zote na kuketi hapo, kisha nyumba
yake kuporwa.
Msemaji
wa huduma za dharura alisema jamaa huyo aliwekewa super glue kwenye
mikono, miguu na pia midomo yake.
Jamaa
huyo mwenye umri wa miaka 50 aliokolewa masaa matatu baadaye wakati
mpenzi wake alifika nyumbani.
No comments:
Post a Comment