Pages

Friday, 24 February 2012

UKWELI BARANI AFRIKA



Je wajua Vita vya Pili vya Congo vilivyoanza 1998 na vilihusisha Nchi nane za Afrika ndivyo vita vikubwa katika historia ya Afrika. Wastani watu milioni 5.4 walifariki kutokana na vita hivyo na kuwa vita ambavyo watu wengi walifariki tangu vita vikuu vya dunia vya II. Vita hivi vilikamilika mwaka 2006 lakini uadui bado unaendelea hadi leo.

No comments:

Post a Comment