Je
wajua Vita vya Pili vya Congo vilivyoanza 1998 na vilihusisha Nchi
nane za Afrika ndivyo vita vikubwa katika historia ya Afrika. Wastani
watu milioni 5.4 walifariki kutokana na vita hivyo na kuwa vita
ambavyo watu wengi walifariki tangu vita vikuu vya dunia vya II. Vita
hivi vilikamilika mwaka 2006 lakini uadui bado unaendelea hadi leo.
No comments:
Post a Comment