Mtoto mmoja alizaliwa na kuwashangaza wazazi wake kwa kuanza kutoa sauti kama ile ya ndege badala ya kutoa sauti ya mtoto mchanga.
Waliokaribu naye wanasema kwamba mtoto huyo mwenye umri wa miaka 6 akikasirika anatupa mikono yake kama mabawa ndege anavyo fanya mabawa yake
na ukizungumza naye anatoa sauti kama ya ndege.
No comments:
Post a Comment