Pages

Thursday, 23 February 2012

VITUKO



Polisi wa trafiki wameshtuka na kuwachwa vinywa wazii ambapo walimuona dereva asiyekuwa na mguu mmoja na bila mikono.
Jamma huyo mwenye umri wa miaka 40 alijifunza kuendesha gari baada ya operesheni mara tatu alikimbizana na polisi kwa dakika kumi bila kushikwa na akawawacha.Kabla ya hayo siku tatu zilizopita alikimbizana na polisi kwa kilomita 120 na kuwashinda.

No comments:

Post a Comment