Polisi
wa trafiki wameshtuka na kuwachwa vinywa wazii ambapo walimuona
dereva asiyekuwa na mguu mmoja na bila mikono.
Jamma
huyo mwenye umri wa miaka 40 alijifunza kuendesha gari baada ya
operesheni mara tatu alikimbizana na polisi kwa dakika kumi bila
kushikwa na akawawacha.Kabla ya hayo siku tatu zilizopita
alikimbizana na polisi kwa kilomita 120 na kuwashinda.
No comments:
Post a Comment